Sehemu Ya (155) : Je, Wee Ni Miongoni Mwa Wanaume Wengi Wanaolalamika Wapenzi Wao Wanamegwa Na Wengine?? Nna Ushauri Wako Hapa.

Ngoja nkupe Ushauri leo ukitaka usimegewe hakikisha unampa Mpenzi wako
mahaba  niue niteketeze kabisa yenye megawati za kumtosha kuendesha mitambo ya furaha kwenye moyo wake ..ukishindwa kumpatia lazima atatafuta Generator la dharura au solar pannel just in case umeme penzi wako hautabiriki. Hakuna mtu anaependa kukaaa gizani kusubiri umeme usiotabirika wa TANESCO wakati majeneleta yanauzwa,

ukitafutiwa jeneleta la dharura kwenye mapenzi usilalamike jilaumu mwenyewe kwa kutotabirika kwa Umeme penzi wako ..watu wanaskia joto wameamua kujizatiti ili ukikatika tu kitu kinawaka AUTOMATIC. shikamoo wote mlioweka mitambo ya symbion na aggreko kwa sababu wapenzi wenu wapo wapo tu hawajitambui wanatumia Mita au Unit za luku .. WANAUME tusipoangalia tutajikuta LUKU haZina kaZi mtu yupo under generator masaaa 24 kuepuka kadhia, utajibabeje!!!!!! mpe mpenzi wako TENSION.

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments