Sehemu Ya (157) : Ladies Bana... Wakati Wee Unasubiria Aivee.. Wenzako Wanamlia Kwa Chumvi.

😀😀Nmeanza kwa kucheka tukiwa VYUONI WANAFUNZI HUWA WANADANGA
NYANA SANA yaani utaambiwa unapendwa wewe malaika wewe mwanaume wa kweli ndio wewe unakuta mwanamke anakudanganya kabisa yeye bikra basi mwanaume unasema acha nisubirie tumalize chuo ntamuoa dooh baada ya kumaliza unakuta anachukuliwa na mwingine na miguu alishampanulia kitambo yaani kumbukumbu uliyobakiwa nayo..

wakati upo chuo kwa miaka mitatu ni kupiga nae SELFIEE TU WAKATI WA GRADUATION usimwamini sana binadamu haaminiki ni bora akwambie una tabia mbaya kamlazimisha kuliko kusubili embe liive wakati wenzio wanakula na chumvi.😀

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments