Sehemu Ya (152) : Jinsi Ladies Wanavotupa "Big G" Kwa Karanga Za Kuonjeshwa.

Ulipokua unaanza nae mahusiano ulituhakikishia yeye ni mwanaume wa shoka,
ukamdiss boyfriend wako aliekusomesha na kukuhudumia tangu ukiwa secondary ukafall kwenye penzi jipya la Kigogo aliekuhakikishia uhakika wa hela ya matumizi, aliyekuachia verosa yake utembele, na mashosti wakakusapoti kwamba huyo ndo bonge la bwana dude la kimataifa, achana na kile kidampa ndo kimemaliza degree kitakuhonga nini zaidi ya course work baada ya muda unakuja kugundua kuwa huyo mwanaume ni mwanaume wa mtu na ana watoto lukuki,

unaanza kulalama umeambiwa mkewe anarudi kutoka nje inabidi ukaribu wenu upungue na gari urudishe kwakua mke anakuja kutumia unaripuka unakuja kusema ALL MEN ARE DOGS.. ndo unajua leo?? Au ulijua umeshika kapeti ?? hakuna shortcut , mheshimu sana mwanamke au mwanaume aliekuvumilia toka scratch, kipindi unavaa suluali za atupele style na kuchomekea BATIKI hadi leo unavaa Levi straus jeans na polo tshirt USIDHARAU !sio kukurupukia watu mtaani kisa unahongwa gari, YES ALL MEN ARE DOGS tunatofautiana style ya kubweka tu...

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments