Sehemu Ya (137) : Ladies, Kuwa Mnyenyekevu Na Sio Mpumbavu Panapotakiwa Hekima Na Akili Zitumike.

Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu hata ungekua
umemkosea nini ukijishusha ukanyenyekea analainika labda hawe na mapepo ndio unyenyekevu wako hautagusa moyo wake.

Mume hafokewi, mume hagombezwi, mume hafanyiwi jeuri na kiburi, akinuna na wewe unanuna asipokutafuta na wewe humtafuti, utapoteza ndoa yako. Ni mume wako wa ndoa unaruhusiwa kumng'ang'ania kama ruba.
Asipokutafuta mtafute, asipoongea na wewe ongea naye wewe.

Hakunaga mke anaambiwaga anajipendekeza kwa mumewe. Kunyenyekea hakukugeuzi kuwa housegirl na ukapoteza nafasi yako ya kuwa mke bora, ila kiburi na jeuri ndio vitakufukuza kwenye hicho kiti na hiyo nafasi ya kuwa mke haraka sana.

Ujeuri weka pembeni! ndivyo wanavyofanya waliodumu kwenye ndoa zao.


NOTE: Kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu. Panapotakiwa hekima na akili zitumie!

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments