Sehemu Ya (133) : Ushauri Kidogo Katika Kutatua Migogoro Katika Mahusiano.

Endapo ikatokea migogoro kati yenu, kutokuelewana au sintofaham kwenye
mahusiano yako, nakusihi  kukabiliana na hiyo hali kwa kumbukizi nzuri na zilizomaridhawa.

Usiondoshe giza kwa giza, bali tumia nuru kuondosha giza.

Kama mwenza wako amekukosea, kumbuka yale mambo mazuri aliyowahi kukufanyia au nyakati bora ambazo mliwahi kupitia.


Litokeapo jambo hasi jikumbushe kwamba mwenza wako anazo sifa nzuri na kwamba bado unafurahia kuwa pamoja naye.

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments