Sehemu Ya (129) : Kama Unapenda Kumuweka Mpenzi Wako "DP" Jifunze Kitu Hapa.

JAMANI HIZI TABIA ZA KUWEKA WAPENZI WETU KWENYE DP WAKATI MNA
JIJUA MNA WAPENZI ZAIDI YA 1 HALAFU KILA 1 ANAJUA YUPO MWENYEWE SI NZURI JAMANI😭😭

Kilicho tokea jana: Nilikuwa na marafiki zangu tuna badilishana mawazo ghafla mmoja anamuona rafiki yake Kwenye DP ya mpenzi wake, akastuka na kutuonesha Akataka kumpigia Simu mpenzi wake Na kumuuliza ila nikamwambia no mpigie rafiki yako mwanamke hato kwambia ukweli Basi akanisikiliza na kumpigia rafiki yake Na rafiki yake akamjibu kuwa ni mpenzi wake..

Jamaa akastuka Sana Na akaumia Sana Na akawa muwazi Kwa rafiki yake kuwa Na mi pia ni mpenzi wangu na mwenzake pia akashangaa wakawa wanataka kumpigia na kumuuliza Nikawauliza kuwa kuna mmoja wenu hapo ambaye akitaka mzigo ananyimwaga? KILA MTU HAPANA Kuna 1 wenu hapo hafurahishwi akiwa na huyo dada? KILA MTU ANAFURAHISHWA..

Kuna 1 wenu anahisi kuwa hapewi haki zake zote kutoka Kwa huyo dada? JIBU HAKUNA.. Mkimuuliza mtagombana naye tu na mtakuwa mmejenga uhasama usio kuwa sababu so chakufanya muacheni aendelee kujiona mjanja Na kila mtu aendelee kumtafuta Kwa wakati wake Endeleeni kujifanya hamjuani ila chamsingi msiwe na wivu coz siku unaweza kutaka mzigo ukaambiwa naumwa halafu ukagundua kuwa ume danganywa haumwi ila mwenzako alitangulia kuomba tu so ukijua hilo unatakiwa kuwa mpole..

Endelea kuwepo siku ukichoka utaondoka utamuachia mwenzako na mwenzako akichoka nae atawaachia wenzake UGOMVI WA NINI?


Nashukuru MUNGU walinisikiliza na kuamua kuishi hivyo but ONYO msipende kuweka pic Za wapenzi wenu kwenye DP zenu kama mna kijua mna wapenzi wengi MTAUMBUKA🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments