Sehemu Ya (128) : Changamoto Walizonazo Ladies Wa Kibongo Ukitaka Kuanzisha Mahusiano Nao.
Kuna rafiki yangu flani aliniambia kuwa hakuna kitu kigumu Tz kama
kutengeneza mahusiano na Mwanamke .
Nikamuuliza kwanini unasema hivyo? Akaniambia Unaweza kuomba muonane
hata Mara 10 JIBU lake Ucjali tutaonana tu na wee lazima ndio Uwe Mtu wa kuwa
una msalimia kila Mara ukisema uache tu Kwa muda number yako inafutwa MTU MWENYEWE HANITAFUTI WANINI?😂😂😂
Ukiacha kumuuliza tutaonana lini Pia ni tatizo yani usitegemee kuwa
akipata nafasi atakwambia ENDELEA KUTOA POVU LA KUULIZA KILA SIKU😂😂😂
Akaniuliza unajua kwanini wana kuwa hivyo?
Nikamwambia hapana, akasema hawana mapenzi ya kweli yani tuna
walazimisha waingie kwenye mahusiano.
Unakuta yupo Na list kubwa hajui wapi aangukie so usipo kuwa Mtu wa
kujiongelesha mara Kwa Mara baada miezi kadhaa jiandae kuulizwa we nani coz
atakuwa amesha kusahau.
Na ndio maana wanaume wa kibongo wana kuwaga Na nyodo Sana wakisha
fanikiwa kumpata Mdada yani akitaka aje akitaka hasije coz amesha sumbuka Sana,
amesha kuchekesha Sana, amesha Chungwa Sana, amesha ulizwa we Nani Sana anakuja
kumpata anaona uh! Mbona kawaida tu? HIYO NDIO TZ KUWA MPOLE😂😂😂
Post a Comment