Sehemu Ya (125) : Jinsi Wanawake Wanavoweza Kuubadili Usiku Kuwa Mchana... Nyeusi Kuwa Njano.

LEO nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua.. Nikamuuliza eti dada unavijua VISA vya
wanawake?? Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu… Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajimwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…

Wananchi wenye hasira walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndiye amenisaidia!! Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka… Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshimu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. 

Nikaondoka na funzo langu…… Shikamoo wanawake katika maisha yangu natamani sana kumfanya mwanamke hawe rafiki yangu lasivyo hata bila kuwezeshwa wanaweza😁😁😁😁

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments