Sehemu Ya (97) : Baadhi Ya Sababu Za "Kiboya" Zinazowapelekea Vijana Wengi Kuingia Kwenye "Ndoa" Kimakosa.


Etii...

1: Umri wangu umeenda sana ngoja niolewe/Nioe.

2: Nimechoka kuwa single wacha tu niolewe/Nioe.

3: Wenzangu wote wameolewa/wameoa nimebaki mimi tu ngoja na mimi niolewe/nioe.

"My Dear friend's"Kama unataka kuingia kwenye Ndoa na sababu kama hizo nakushauri acha Kabisa mawazo hayo. Kumbuka "Ndoa sio kifurushi cha Wiki"

Kama Unaota Amka Hiyo Ndoto Ni Ya Vibwengo.

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments