Sehemu Ya (88) : Unayajua Mahaba "KungFu"??
Hakuna kitu kizuri kama kumpa Mpenzi wako vyote ili akose vya kuomba
nje!
Usiache hata tundu moja la kidudu kuingia na kusambaratisha.....Mpe
Mawasiliano kwa Asilimia Zote..... Mpe Attention.... Mpe hela ukiweza... Mpe
Mahaba makali yenye Kungfu, Taekwondo na Kila kitu....
Hakuna Mwanaume atamuiba maana unapata vyote.... Hakuna Mwanamke atampa
lolote ambalo wewe hujui, Viuno vyote wavijua, Feni Mbovu Style, Feni nzima,
Air Condition Moves, Mupeeee.
Kama umegundua tatizo ni Mahaba uliyokuwa unampa badilika, kuwa mbunifu
from NOW going forward... Si unampenda??? Usijali kwamba kuna Competition, wewe
fanya kwa nafasi yako.... Mchoshe hadi akiwaza kuamka kwenda kule akute hana
nguvu tena, atabaki kwako.. Dozi Tu!
Baada ya muda utagundua amerejea, Kule alikoibwa hakuna Jipya tena,
atabakia wako na utaishinda vita.. ILA, Jifanye bandidu, eti unamnunia kwanini
kaenda kule.... Au unamtafuta huyo Mwanaume Mpya au Mwanamke Mpya unaanza
kumtukana, eti ooh ntakukomesha, unaiba vya watu, mara ooh ntakuloga uvae chupi
usoni... ah wapi, unafeli....
Dawa ya mwizi ni kumkimbiza kimyakimya, wala
kelele hupigi, mwenyewe atahisi huyu niliyemuibia leo sio wa kawaida, ila
makelele ya mwizi mara vile, wote mtaonekana wezi.....
KIMBIZA MWIZI KIMYAKIMYA.... JIPANGE KIMYAKIMYA... .SHAMBULIA
KIMYAKIMYA
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment