Sehemu Ya (87) : Jinsi Wanawake Wa Sikuhizi Ambavyo Hawatabiriki Kama Mvua Za "DAR".
Wanaume kihistoria huwa wanakuwa na mahusiano mengi kuliko wanawake..
Wanawake huwa wana sense of shame kwenye idadi ya wanaume wanaolala nao (with
exception to bisshh who don't care)... So kwa Mwanaume kuwa na list ya wanawake
15 ni kawaida, wakati Mwanamke akifikisha 6 nafsi inamsuta kwamba sasa anajaza
kontena...
Hii imewafanya wanaume kuwa exposed na mambo mengi sana kuhusu Mapenzi
kuliko wanawake.... In 5 years, Mwanaume anaweza kuwa na mahusiano na Wanawake
hata 10... Katika hawa 10, kila mmoja alikuja na rangi yake... Huyu anamtenda
kwa style hii... Huyu style ile...
So in 10 girls, anakuwa amewajua Wanawake
vizuri na all types... Akija kwako wewe Mwanamke wala anakuwa sio mgeni,
ukifanya jambo ana recall nyuma kwamba kilipotokea hicho Something happened...
Na kwa Mwanaume kama alitendwa kwa style hiyo 5 years back na mtu, halafu wewe
unakuja kumfanyia remix leo, usitegemee huyo atakuwa na huruma na wewe...
NEVER! Atajua whats next na hatojali kukupush hadi wewe unapotaka kufika, hata
kwa fork-lift...
In general, Mwanaume aliyeumizwa kamwe hatajali kwa sababu ataona
wanawake wote ni sawa, which is not true, lakini Wanawake, epecially wa siku
hizi mmekuwa Chronic, hamtabiriki kama Mvua za Dar, muda wowote zinanyesha bila
Mamlaka ya Hali ya hewa kutrace your occurence, so wanaume wamejitune.. Anytime
wako Standby kama FFU na Maandamano ya Chadema, na hapa ndipo Wanawake wengi
wanapoumizwa...
Wengine ni wema tu lakini mmekumbana na Wanaume waliopokea visago
ambavyo kupona kwake ni kwa neema ya Mungu, usipoweza kumtibu vizuri basi
utaumia tu, na wengi wenu hamna muda wa kuwajua boyfriends zenu, mko bize
kuomba hela za Mawigi tu....
Sababu Hii hufanya wanaume wasiwe na huruma siku
hizi wanakua na visirani kwa mda mrefu
sana a.k.a gubu wazee Wa reference na ndomana sahivi wana kauli yao ya Zawadi
ya kudumu ni kubarikiwa WoWoWo eti hata ujirembe vipi wenyewe wanatazama wowowo wasomeni waume zenu girls..
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment