Sehemu Ya (86) : Wanaume Mnawajua Wanawake Penzi-Umeme??
Ukitaka Usimegewe hakikisha unampa Mpenzi wako Mahaba-Niue Niteketeze
Kabisa yenye Megawati za kumtosha kuendesha Mitambo ya Furaha kwenye Moyo
wake...
Ukishindwa kumpatia lazima atakutafutia Jenereta la dharura au Solar
Panel just incase Umeme-Penzi wako hautabiriki.
Hakuna Mtu anayependa kukaa gizani kusubiria Umeme usiotabirika wa
TANESCO wakati Majenereta yanauzwa. Ukitafutiwa Jenereta la Dharura kwenye
Mapenzi usilalamike, Jilaumu mwenyewe kwa kutotabirika kwa Umeme-Penzi wako...
Watu wanasikia Joto wameamua kujizatiti ili ukikatika tu kitu kinawaka
AUTOMATIC.
Shikamoo wote mliowekeza mitambo ya Symbion na Aggreko kwa sababu
Wapenzi wenu wapo-wapo tu hawajitambui wanatumia Mita au Unit za LUKU.
WANAUME:Msipoangalia mtajikuta LUKU haina kazi mtu yuko under Generator
masaa 24 kuepuka kadhia, Utajibebaje!... chura anapenda kuoga Maji lakini sio
na sabuni.
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment