Sehemu Ya (81) : Sio Kila EX Wako Anayeomba Mrudiane Anamaanisha.
Sio Kila EX wako anayeomba Mrudiane anamaanisha! Wengine huomba kurudi
ili
wakutesti tu jinsi ulivyo Mbulula, jinsi usivyo na msimamo na jinsi ulivyo
CHEAP na huna Misimamo wala Future.
Jitu mmeachana miezi 6, leo linakutesti lirudishe majeshi, na wewe
ulivyo kiazi, upo-upo tu, ina maana miezi yote hii ulikuwa umeganda unasubiria
rehema zake ama??
Kurudia Matapishi ya EX ukitegemea Amebadilika ni Sawa na Kupika
Sufuria la Makande kwa Mshumaa, Utaambulia Masizi tu.. Kipi kipya kakiona kwako
hadi arudi?? Nini Kilimshinda huko nyuma ambacho leo anakiweza anataka kurudi??
Akafie Mbele huko.
KUWA NA MSIMAMO, Ukisema Its Over umaanishe, sio unakuwa na hisia
zinapepea tu kama Bendera ya Katibu Kata wa Kigogo Luhanga... Mtu kama
Hajielewi achana nae, siku akijirudisha mwambie kwanza akapimwe mkojo kwa
mkemia Mkuu.
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment