Sehemu Ya (80) : Ukimpenda Mwanamke Wee Mpende Tu.. Kazi Ya Uchunguzi Waachie Madaktari.

Mwanaume:mwanamke sio tuition ukimsoma hutomuelewa ukiamua kumpenda 
mwanamke we mpende tu usipoteze mda wako kumchunguza sana... mwanamke ameumbwa ili apendwe sio kufanyiwa uchunguzi kama postmoterm ya maiti ukimpenda mwanamke bila kumfanyia uchunguzi utaishi kwa raha maisha yako yote. 

Lakini muda utakapojiongezea KPI ya kuanza kujaribu kumwelewa basi unakaribisha karaha maisha yako yote maana mwanamke haeleweki hata umpime na thermometer. kama anaweza kupaa bila ungo wiki nzima na akarudi bila kuanguka, unadhani unaweza kumwelewa?? Ukimpenda mpende kazi ya uchunguzi waachie madaktari.

Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments