Sehemu Ya (79) : Wale Wanaojisahau Baada Kuoa Au Kuolewa.. Hii Ni Yenu Pia.

Wanawake na Wanaume wana tabia ya kujisahau sana... Wanawake wakiwa
wanaiwinda ndoa wanajituma, viuno sana Mbilia Bel chamtoto, akiolewa sasa... ana relax, anaona kamaliza, hajui competition iko palepale, we jifanye umefika uone vimada vitakavyochukua nafasi, utajikuta ur just a house wife, raha wanapewa wanaojituma..

Na nyie Wanaume, endeleeni kula bia, huyo mwanamke anataka shughuli, ukidhani umempata imetosha na hana la kufanya unajidanganya, wanaojua kusimamia kucha watamkamata, we ukija na mibia yako unapiga kimoko cha kichovu unakoroma kama Beberu... Penzi ni jukumu, ukijisahau umeumia.

Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments