Sehemu Ya (63) : Jinsi Wanawake Wazuriii... Maringo Na Mashauzi Ya 900 , Wanaongoza Kwa Kuachwa.

Hata Uwe Mwanamke mzuri kiasi, mwenye rangi ya udongo wa fedha na kiuno
kinachozuia upepo usivume, na una hela na kazi nzuri sana, Kama una KIBURI, LUGHA MBOVU, MAJIBU MABAYA.... Hakuna Mwanaume atakaa na wewe
Wakati mwingine mnaachwa mnajiuliza, 'Amewezaje kuniacha na mi ni mzuri hivi'

Jifanyie Internal Scanning kuhusu TONE yako unapoongea na Mwanaume, Mafahali wawili hawawezi kukaa zizi moja... Yaani wewe Afande KIBESI, na Mmeo Koplo KIBESI, Huo sio Uhusiano ila ni kikosi cha Askari wa Kiwango Security.

A woman should be tender.. Soft-tonned.. a listener.. Huwa mnazidiwa vitu vidogo tu, we unajifanya kidume, wakati MCHEPUKO unaongelea puani hata kama nimeukosea mimi UNAHAMWA!

MTU unakaa kibarazani kuongea kuanzia asubuh mpaka jioni mdomo umekua mwekundu kama nyanya ya masala inahusuu midole imemchanua kama ndizi ya bukoba jifunzeni kupeti waume muda mwingine nyie wadada wazuri mnaringa sana hasa mkivaa weaving limefumuka kama kabichi la mia tano vipi utakuta unapost "beib said tz OK"  

Wapiii utahamwa ataenda kwa wakawaida mno wenye macho kama mayai ya kuchemsha na mtoto atatulia kwangu kaipenda asali ya kopo mamaaa inahusuuu...


Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments