Sehemu Ya (62) : Je, Unayajua Mapenzi Ya "SERIES"?
yanapobadilika ikifika season 2, Upendo wa kweli hupimwa pale ambapo Hela ulizomkuta nazo
wakati mnaanza zinapokwisha na inabidi msaidiane kutafuta zingine ili muendelee
kuishi vizuri kama Mwanzo Upendo wa kweli hupimwa pale Umbo lake linapofifia na ile
Mijihips uliyompendea mwanzo inapokwisha.
Ukimuacha kwa sababu lile tako refu ulilomkuta nalo akiwa
Kigoli mbichi limekwisha HUKUMPENDA YEYE, ULIPENDA TAKO ZAIDI. Ukimuacha kwa sababu yale maisha mazuri aliyokuwa anakupa
mwanzo hayapo tena kwa sababu Uchumi umeyumba HUKUMPENDA YEYE, ULIPENDA MAISHA
MAZURI ULIYOMKUTA NAYO.
Huwezi kuihama CHADEMA kwa sababu tu Halmashauri Kuu imemvua
Uanachama Zitto Kabwe, Hukuipenda Chadema ila ulimpenda Zitto Kabwe. Jiulize leo, Unampenda yeye au Unapenda ulivyomkuta navyo??
Wengi wanafeli hapa, wamekuta Goodlife na Bata Love ikajiconnect fasta, Hela
ikikata ndo utajua unatumia Wireless ya 4G LTE au uliweka Bundle ya Siku...
Kuoa au kuolewa ni majariwa Tuombe Mungu kuna watu kipindi cha boyfriend mna
machaguo mengi mnataka six packs wengine mnataka chura mnaishia kuoa mijusi .
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment