Sehemu Ya (112) : Ladies, Kinachokuchefua Wee Ndo Kinachompa Furaha Mwenzako.. Kama Inauma Chomoa.

Jamaa Kwenye kupita pita mtaani akakutana na binti flani mzuri, akasimamisha
Gari na kumsalimia. Yule binti aligeuka na kukunja mdomo kama chuchunge na kusepa, Jamaa alifurahi na  kujisemea kichwani kuwa TATIZO ELIMU. Baada ya siku kadhaa alikuwa Sehemu anapata wine baada ya kazi ghafla anaambiwa usilipe Yule dada amelipa, akashangaa na kwenda kusema Asante.

Yule dada akamwambia Ucjali ningependa uendelee kukaa coz mi Bado natamani kuendelea kukuona, Jamaa akamwambia Ucjali tutaonana tu but now kuna Sehemu nawahi Mdada akatoa Busness card akampa Jamaa akamtext. Wakalibishane Baadae Kwa chakula CHA jioni & wine mwisho kitu na box.

Kesho kutwa Mdada kamuomba Jamaa aende home kwake Kwa chakula CHA jioni JAMAA AKAENDA. Anagonga kengele Mara Yule Mdada aliye mkunjia mdomo kama chuchunge anakuja kufungua WOTE WAKASTUKA ILA JAMAA AKAKAUSHA. Kuingia ndani Mdada kamkumbatia na mabusu tele halafu akatambulisha...

Baby huyu ni dada wangu wa kazi.

Jamaa akajibu okay nime furahi kumjua.

Mdada: Karibu HAPA ndio kwako so anytime & no body can stop you. Kifanya Kazi mbio chumbani😂😂😂

JIFUNZE KUMSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO.
Umetoswa Sehemu ambayo ulikuwa umejipanga kutoboka kuhudumia, UMEKUJA kupendwa Sehemu ambayo unaulizwa baby nikupikie nini leo?😂😂😂
Baby natamani Leo tutafute hotel tutaleeeeee

Baby mbona mnyonge hivyo au huna hela? Tel meeeeee honey

Baby kuna mchongo flani hivi nafikiri unakufaa so ngoja niufatilie ukikaa sawa nitakutonya😜😜😜

NI SOMO RAHISI LISILO HITAJI HATA TUTION: Ukiona Demu anaringa sana ujue ni choka mbaya huyo lotion Na nguo zina mlinda so..


#KamaInaumaChomoa.

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021


No comments