Sehemu Ya (111) : Jinsi Wanaume Wanavyoweza Chagua Ladies, Over Their Mothers.

Mama yako anakukumbusha mwanangu siku kuuhiyo imefika tunafanyaje?.
Una jibu mama tutaona ikifika yani sina hela kabisa!!. Haya mwanangu nakuombea Kwa mungu upate coz unajua kuwa kimbilio langu ni wewe.

Haya mama.

Demu wako anakutumia msg kuwa baby please kumbuka saloon, nguo ya kuvaa, viatu na PESA ya matumizi c NILIKWAMBIA kuwa mama na dada zangu watakuja?

Ucjali honey I wil try my best .

Unatuma PESA ya nguo, saloon, Viatu na matumizi halafu Kwa mama huna hela😭😭.

Kumbuka kuwa mama hakuoni ila mungu anakuona na kumbuka Hata mama yako Pia ni Mwanamke na tena ni mwanamke Bora kuliko huyo anae kuzuzua.
SWALI: Hivi unajua kuwa huyo Mwanamke aliye kuomba hela ameomba wangapi? ILA KUMBUKA USEMI WA MAMA YAKO KUWA YOUR THE ONLY ONE KATIKA MAISHA YAKE.


Think about your Mommy first than you can think about vinyonya damu ASANTE KWA KUNIELEWA.

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments