Sehemu Ya (107) : Je, Unayajua Madhara Ya Kuwabembeleza Saana Ladies??.

Kuna rafiki yangu flani anakwambia kuwa hupaswi kumbembeleza Mwanamke
kupita kiasi ili uonane nae coz madhara yake ni makubwa.. Mwanamke anapo kuja kwako siku ya kwanza, mwanaume ndio unatakiwa kumuonesha kuwa unataka sex yani usipo fanya hivyo we mwanaume utakuwa na shida hata kama Mwanamke atakuwa anataka hapaswi kukuonesha wewe Kwa hapo nawa tetea.

TURUDI KWENYE MADHARA YA KUMBEMBELEZA MWANAMKE KUPITA KIASI
Ukimbembeleza sana Mwanamke madhara yake nikwamba hata ukiwa nae Sehemu sahihi ya kumuonesha kuwa unahitaji ile kitu inayo mmesa mwenzake lakini utakuwa unaogopa coz umetumia nguvu kubwa sana kumbembeleza na pia anaweza kukwambia sitaki, usiniguse, niache! UTAMUACHA COZ UTAOGOPA YANI HIYO HAINA TOFAUTI NA KUKARIBISHWA NA MTOTO WA KIKE AMBAYE UNATAKA AWE ZAIDI YA RAFIKI KWAKE COZ HUWEZI KUJIAMINI KUMLETEA FUJO ZA HAPA NA PALE, UNAWEZA KUFUKUZWA😂.

So kama una muhitaji mwanamke kuwa wako basi hepuka kumbembeleza sana coz uwa wanavimbaga vichwa Hawa watu halafu utajikuta unamkosa kijingaaaaa… Usiitwe kwake ukaenda coz ukimfanyia zile fujo zetu ukiwa kwake ni UKOSEFU wa adabu, huwezi leta fujo kwa watu coz unaweza kufukuzwa na ukawa umejishusha.

Mwanamke yoyote mwenye kujielewa uwa anapenda mwanaume Mwenye fujo coz usipo leta fujo atakosa pozi la kukupa halafu utakuwa umemkwaza😂😂.
ILA HIZO FUJO ZIWE KWAKO AU ZIWE SEHEMU AMBAYO WEWE UMEMUITA NA CO KWAKE AU YEYE AMEKUITA.

Mtu yoyote anaeitwa anatakiwa kumsikiliza aliyemuita so mtoto wa kiume ukikubali kuitwa na mdada kuwa mpole msikilize anachotaka ila naamini mwisho utaanza kujutia muda wako uliopoteza Na gharama Za kufika huko coz hana uwezo wa kukuonesha kuwa anataka ile kitu inayo mkuna mwenzake.

#HiiniKwaWenyeSeriazRelationshipTuu

#UkiitwaKwaMwanamkeUsiendeMwingineAnakupimaUlivoZuzu.

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments