Sehemu Ya (106) : Jinsi Ladies, Wanavotaka Maisha Ya Kwenye TV Bongo.
Rafiki yangu flani aliniambia kuwa tatizo la wanawake wa
bongo wanataka
kucopy maisha ya wanao jitambua huko Na kutulazimisha sisi
tukubaliane nayo MAISHA YA KWENYE TV TUNAITA. Kwanza bongo hata mke wako awe na
Kazi labda usaidiwe tu ila jukumu la kutoboka mfuko ni lako mwanaume ULAYA
WOTE.
Bongo ukionekana unatolea macho kipato cha mkeo kila mtu
atakucheka ULAYA ACCOUNT MOJA PESA ZOTE ZIONEKANE.
Hapa tuanze na Ulaya coz ni aibu🙈🙈.. Hii
nimeipata live Kwa rafiki yangu anasema DENMARK mtu ajengi wala hanunui Nyumba
mpaka ampate mwenzake ili wajenge/wanunue Nyumba wote yani Kwa kifupi wachume
wote BONGO MIJANA MKE INATAFUTA WANAUME WALIO WEKEZA ILI IJIWEKE🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Unataka kunidekea wakati nimetoka mishe Sina sent tano na
nimekoswa koswa na piki piki c unataka nikupasue tu mama? Nikifika home
nibembeleze, niwekee Maji ya kuoga, nikologee chai ninywe tuongee HAPO
INAPENDEZA.
Unalazimisha niwe nakutoa out wakati kiwanja chenyewe
chamkopo na sijamaliza huo mkopo UNA NIPENDA KWELI WEWE? Unataka nikirudi niwe
nakuja Na zawadi wakati kodi ya meza utata na hapo mchepuko sina.
WANAWAKE HII TANZANIA CO ULAYA SO MALOVEEEE TUWAACHIE ULAYA
HAPA KAZI TU😂😂😂😂😂😂😂😂.
Maloveeee yanataka PESA mingi jamani, ndio maana wanawake
wanapenda wanaume wenye PESA coz hakuna masikini kama mimi Mwenye
maloveeee SIKU UKIMPATA NIAMBIE UMEMPATA
MI NITAKUNYWA SUMU NAKUFA😂😂😂😂
#NoOffence
Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment