Sehemu Ya (103) : Ladies, Wengi Wenu Mnapenda Saana Kuambiwa Uongo Na Sio Ukweli.
Nikamuuliza vipi mama, unatatizo gani? Akaniambia we acha tu yani nashindwa hata nianzie wapi
kusema!
Nikamwambia sema tu coz mi ndio rafiki yako usipo KUWA wazi
kwangu utakuwa wazi kwa nani? Akaniambia yani nyinyi wanaume c watu?
Nikamuuliza kwanini unasema hivyo? Akaniambia yani nyinyi ni waongo sana sana Nikamuuliza KUWA Kwani mi nimesha kuongopea? Akasema hapana ila kwa KUWA hujanitaka ndiomaana.
Nikamwambia ok tuachane Na hayo, niambie nini tatizo
Rafikiangu?
Akaniambia KUWA nilikutana Na Jamaa Kwenye sherehe akaonesha
kunitaka na mi nikaonesha kumuelewa ila kabla cjampa game niliomba sana
aniambie anashugulika na nini hakusema, mwisho akasema kuwa yeye ni Mwanasheria
Basi tukaanza mapenzi, chakushangaza juzi nimemkuta kwa
macho yangu anajenga nyumba maeneo ya Tabata yani nilisikia kizungu zungu
ghafla😁😁😁
Roho imeniuma sana, kwanini anidanganye!!!!
Nikamwambia pole sana rafiki yangu ila hayo matatizo ya kudanganywa
wanawake uwa mna yatakaga coz uwa mnatengeneza mazingira ya kudanganywa nyinyi
wenyewe Na hayo yote utokana na wanawake wasasa hamvutiwi na mtu bali uvutiwa
na chake huyo mtu Turudi nyuma angekwambia anajenga ungeanza kusema upo busy
Coz Kwenye akili yako umesha weka ndoto za kuwa na warusha ndege, watu wa TRA
au wafanya Biashara wakubwa
Kitendo cha kulazimisha kutaka kujua mtu anashugulika na
nini kabla ya kuwa nae inampa pic Mtu KUWA we ni Mtu wa aina gani so atapita
humo humo unapotaka wewe ili awe Na wewe.
Ukichunguza utagundua kuwa wanawake wengi hawana mapenzi ya
kweli Na ndio maana uonesha mapenzi pale tu anapojua Au kuhisi kuwa kuwa hapa
pana chapaa😂😂😂 So vilio vingi Vya wanawake sasa hivi ni
wanaume waongo NANI ANABISHA?? We bonge la dada zuri unaanzaje kuliambia we
Kinyozi, uh?
Unaanzaje kuliambia kuwa we kishoka TRA. Unaanzaje kuliambia
we huna Kazi upo tu.. ENDELEENI KUTUONA WAONGO MPAKA HAPO MTAKAPO BADILIKA NA
KUWA NA MAPENZI YA KWELI.
Post a Comment