Sehemu Ya (102) : Usitake Kujua Kila Kitu , Vingine Vitakuumiza Akili Tu.



Usitake kujua kila kitu coz vingine vitakuumiza akili tu na kujisikia vibaya tu but kuwa
kila kitu kinafanyika Kwa mipango ya mungu SEMA AMEN.
Mfano: ukijua kuwa mama yako alishakunywa Dawa ili akutoe ukagoma kutoka utampenda mama kweli? BUT NOW HAKUNA KAMA MAMA NA WE UNAPIGA MAKOFI👏🏽👏🏽👏🏽
Mfano: Hivi utajisikiaje ukisikia kwamba mama yako hakumpenda baba yako ila nipesa tu ndizo zilizofanya awe nae? HAYA KUHUSU HAYO UNACHUKIA NINI SASA.
Utajisikiaje pale ambapo utasikia kuwa mama yako alikuwa ni Mke wa tajiri flani matata Sana ila kilicho mtoa huko ni kufumaniwa na shamba boy wa huyo mzee yani baba wa kaka yako na kupewa mimba so huyo ambaye ilibidi awe baba yako kamfukuza mama yako na kubaki na kaka yako halafu we umependa kuzaliwa kwenye shida mwanzo mwisho😭😭 UNAWEZA KUMKATA MAKOFI HUYO MAMA😂😂😂.

Kitu kimoja kizuri nitakwambia ambacho kinaweza kukupa faida kwenye maisha yako "FORGET ABOUT PAST" jifunze kuangalia mambo yako na c ya watu wengine, jifunze kuangalia ulicho kuwa nacho na c kilicho potea coz kilisha potea already, jifunze kupambana kutoka hapo ulipo na huko unapo kwenda, kuwa mtu wa shukurani na usiwe mtu wa kulalamika.

"NO FUCKING BODY CAN STOP YOU IN YOUR LIFE KUFIKA PALE UNAPOTAKA."

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini

Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments