Sehemu Ya (159) : Etii.. Unadumbukia Kwenye Ulevi Na Starehe Na Ukicheche/Uplayer Ili Kumkomoa Ex Wako Mlie Break Up?? Like Real??
wengine wameanza Ulevi wa kupindukia eti kisa Break Up...mtu anaanza
mapombe eti kuondoa mawazo.... Let me be very Clear here....POMBE HAIONDOI
MAWAZO..... Narudia! POMBE HAIONDOI MAWAZO NA HAISAHAULISHI CHOCHOTE!
Utakunywa, utalewa tilalila, Utaamka ukiwa yuleyule! Na ukipata Marafiki
wapuuzi wasio na msaada wanakusapoti kwamba kula bata, this is ur time... Jamaa
alikuwa anakubana sanaaaa,hata outing ulikuwa hutoki yeeaaahhhhh we are
divaaasss let us show him... SHOW WHO STUPID???
Unamshow nani... Hela utamaliza za kwako... Mwili unaounywesha Mipombe ni
wa kwako.... Na Kidney Failure na Kisukari utaumwa WEWE... Dont show anyone.. Use
ur brain.Usiingie kwenye Ulevi na Umalaya kisa UMEACHIKA, huo ni ujinga
uliotukuka!
Wewe sio wa kwanza,mamako mwenyewe alishapigwa vibuti 88 kabla ya
kuolewa na babako,muulize atakwambia.... Break Up sio mwisho wa Maisha.. Ni
challenge ambazo unapaswa uzishinde na Ukiweza utajikuta umejifunza mengi sana
in life.
Wale Ma-Player, sijui ni VCD Player au DVD, poleni sana... Eti unaamua
kuwa Player kisa Diana amekuacha.. oh nilimpenda sana, Maisha hayana maana ngoja
niwe Player.... SAWA! Kuwa Player na UKIMWI utakuwa Kocha wako.
Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies
WhatsApp +255 715 758 021
Post a Comment