Sehemu Ya (77) : Jinsi Ladies, Mnavosababisha Wanaume Wenu "Kuchepuka" Bila Nyie Kujua.

Girls.... You run this World right??? Run it with your Brain!
Wanawake wamekuwa Mabingwa sana wa kulaumu Wanaume kwanini wanacheat sana.. Na wanaamini kwamba Wanaume hawana Reason ya Kucheat maana wao wanadhani wamefanya yoteeee, sasa kwanini jamaa acheat??

Leo naleta kwenu Aina ya Wanawake ambao wao wenyewe kwa hiari, wanafanya mambo ambayo ni Greenlight kwa Mwanaume kucheat... WAZEE WA MUDA

Hawa ni mabingwa wa kuhesabu dakika.... Utasikia humalizi tu.... Jamani nusu saa bado upo tu huchoki.... We mwanaume robo saa si tayari unanikomoa?? Nani akukomoe wewe!!
We Mwanaume hiyo ndo style gani....
Nani kakufundisha hii mbona hatujawahi kufanya.....

Sasa haya Mapenzi au Interview???

Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini, sasa raha utasikia saa ngapi??? Mwanaume anajipinda ili akufikishe wewe umekazana na Questionnaire yako.... Mara kidogo filimbi hiyo..... utasikia Maliza bwana mi nimechoka.. 

Yaani kauliza maswali weeeeeee, halafu anakwambia Maliza.... Dah, ukute we ndo kwanza uko Chalinze, unaambiwa maliza, sasa sijui utafika Ubungo Stendi na Ungo.... Kwakweli, kama uko hivi, sishangai Mmeo akicheat, kosa ni lako mwenyewe!

Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 
WhatsApp +255 715 758 021

No comments