Sehemu Ya (99) : Ladies, Hebu Ijue "Hurka" Ya Wanaume Kwa Ufupi Hapa.


Wanaume ni sawa na chumvi ikizidi shida ikipungua shida.. sijui nitumie maneno
gani kuelezea lakini jua tu wanaume hawaridhiki ila wanatosheka tu...  hivyo ukiolewa tambua mumeo ni sawa na mtoto wako we hakikisha  unamtunza vizuri, unamuheshimu, anaoga, anakula, anavaa vizuri, anawahi kurudi nyumbani na anafanya kazi kwa uhuru na kwa bidii hayo mengine unayo yaona hapo muachie Mungu adili nayo wewe huwezi.

Hata umpe usiku mzima akitoka asubuhi kwenda kazini atatamani na atafanya hata chooni usicheze na mwanaume.

Anapenda kitu roho inapenda viuno peleka twanga pepeta
Hahahah Ladies, Don't Catch Feelings #AmYourFutureHusbandMayBe.😂😂😂

Watumiaji Wa "Android" Unaweza Download App Yangu Hapo Chini
Ili Kupata Posts Zangu Kirahisi Zaidi Kwenye Simu Yako.http://www62.zippyshare.com/d/FvrvpQQg/31722/xxlbongotz.apk
Pia Unaweza Nifollow:
Facebook , Instagram , Snapchat , Twitter @KissToTheLadies 

WhatsApp +255 715 758 021

No comments